Aidha chama hicho kimeendelea kuwapongeza Mwenyekiti wa chama hicho Taifa Dkt.Agustine Mrema kwa kuchaguliwa tena kuwa Mwenyekiti … “Tulikutana … Shirika la JHPIEGO lawapiga msasa wanahabari kuhusu Afya ya Uzazi. Ni headline nyingine tena kutoka kwa Mwenyekiti wa TLP ambaye pia ni Mwenyekiti wa bodi ya parole Augustino Mrema ameibuka tena kujibu hoja za baadhi ya wapinzani wanaodai kwamba amekuwa akitumika na Serikali kwa makusudi jambo ambalo wamedai anazeeka vibaya. John Pombe Magufuli, kwa kile alichokidai mgombea wa chama chake kufanyiwa hujuma, ili mgombea wa Chama Cha Mapinduzi ashinde Uenyekiti wa Serikali za … Muhidin Mapeyo akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya namna ya kujaza fomu za Marejesho ya Gharama za Uchaguzi kwa Viongozi wa Kitaifa wa Vyama vya Siasa vilivyoshiriki uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 leo jijini Dar es Salaam. Nyuma yao ni Mwenyekiti wa TLP Mhe Augustine Lyatonga Mrema na Mwenyekiti wa UPDP Mhe Fahmi Dovutwa leo. Akizungumza na waandishi wa vyombo vya habari leo Jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Chama hicho, Augustino Mrema alisema kuwa katika kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano imekilazimu chama hicho kuunga mkono kuwa TLP haitosimamisha mgombea na badala yake Rais Dkt.John Magufuli apitishwe kuwa Mgombea wa Kiti cha Urais wa Tanzania mwaka huu kwa hoja kuu … Gaga na Lopez kutumbuiza katika sherehe za kuapishwa kwa Biden. Akizungumza na waandishi wa habari Mwenyekiti wa Chama hicho Agustino Lyatonga Mrema amesema kuwa jina Mgombea Urais lilisgapitishwa na Halmashauri Kuu Chama na kilichobaki ni … TCD inaundwa na vyama vyenye uwakilishi bungeni, ambavyo ni CCM, CUF, CHADEMA, TLP, NCCR-Mageuzi na UDP. Timua timua hiyo imefanyika mapema jana kwenye mkutano mkuu wa kamati ya utendaji wa mkoa, ambapo waliwajadili viongozi hao wa wilaya akiwemo mwenyekiti wa TLP wilaya ya Arusha mjini na kuonekena kutokustahili kuendelea kuwa viongozi wa chama hicho badala yake warudi kama wananchama wa kawaida. Mrema ameyasema hayo Jijini Dar es Salaam leo wakati akizungumza na waandishi wa habari. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha TLP Mzee Agustino Lyatonga mrema aliyefika eneo la Himo pamoja na wanachama wachama chake ili kumlaki leo Jumatano Oktoba 21,2020. MWENYEKITI wa Tanzania Labour Party (TLP), Augustino Mrema, amesema Chama hicho kipo tayari kuungana na chama chochote cha siasa ambacho kitakuwa tayari kumuunga mkono mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais John Magufuli. Mwenyekiti huyo wa TLP amesema kutokana na misukosuko aliyoipata kwa kufunguliwa kesi za mara kwa mara, Serikali inapaswa kumlipa fidia ya kiasi hicho cha fedha. Augustine Lyatonga Mrema leo Juni 14.2016 ameibuka tena mbele ya waandishi wa Habari na kueleza mambo mbalimbali namna alivyofanyiwa vibaya ‘figisufigisu’ na wapinzani wenzake ambapo amesema kuwa kwa sasa suala hilo amemuachia Mungu kwani anaamini Rais wa sasa Dk. Nyuma yao ni Mwenyekiti wa TLP Mhe Augustine Lyatonga Mrema na Mwenyekiti wa UPDP Mhe Fahmi Dovutwa leo. CHAMA cha Tanzania Labour Party TLP kimeunda timu ya kuzunguka nchi nzima kuzungumzia miradi iliyotekelezwa na Serikali ya awamu tano chini ya Dkt.John Magufuli kama kuonyesha Juhudi za kuungamkono kwa vitendo kauli ya mkutano mkuu wa chama hicho. Chama cha Tanzania Labour Party TLP kimeunda timu ya kuzunguka nchi nzima kuzungumzia miradi iliyotekelezwa na Serikali ya awamu tano chini ya Dkt.John Magufuli kama kuonyesha Juhudi za kuungamkono kwa vitendo kauli ya mkutano mkuu wa chama hicho. Mwenyekiti wa chama cha TLP, Augustino Mrema, amesema anaenda kulalamika kwa Rais wa Tanzania Dkt. Ameongweza kuwa, kumekuwepo na kampeni chafu ya kukifuta TLP … NA EMMANUEL MBATILO. Mwenyekiti Wa Taifa Wa chama cha Tanzania Labour Party (TLP) Agustino Mrema "amelia" kuchezewa rafu katika uchaguzi Wa serikali ya kijiji cha Kiraracha,jimbo la vunjo wilaya ya … “Kuna watu wanatutisha tukimtetea Magufuli, nimehongwa Milion mia?”- Mrema . “Nimeshindwa kushirikiana na wapinzani hususan Ukawa kwa sababu walinikashifu. Mrema amesema kuwa ameamua kumuandikia barua hiyo Rais Magufuli kwa kuwa yeye ni mtetezi wa wanyonge. Mwenyekiti wa TLP,Agustino Mrema, akizungumza na Katibu wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Jonathan Mabihya, Leo walipokutana katika kijiji cha Kiraracha,wakati wakisubiria kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wa mwenyekiti wa kijiji hicho. Aliyekuwa mgombea wa ubunge Jimbo la Vunjo kwa tiketi ya chama cha TLP, ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama hicho, Dkt. “Watu wanasema kwamba Mrema anazeeka vibaya, Mrema ni kibaraka wa CCM na ingekuwa muda wake […] Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. John Magufuli kuwa mgombea wa urais kupitia chama hicho katika uchaguzi mkuu wa 2020. Ni headline nyingine tena kutoka kwa Mwenyekiti wa TLP ambaye pia ni Mwenyekiti wa bodi ya parole Augustino Mrema ameibuka tena kujibu hoja za baadhi ya wapinzani wanaodai kwamba amekuwa akitumika na Serikali kwa makusudi jambo ambalo wamedai anazeeka vibaya. Mrema ambaye sasa ni Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Tanzania Labour Part aligombea urais mara mbili hiyo ilikuwa mwaka 2000 kupitia , na akagombea tena 2005 kwa mara ya tatu kupitia chama hicho cha TLP. Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Augustino Mrema amesema hakuna ubaya Rais Jakaya Kikwete akiachwa kuongeza nchi kwa muda ili akamilishe mchakato wa Katiba Inayopendekezwa pamoja na Daftari la Kudumu la Wapigakura. Nyuma yao ni Mwenyekiti wa TLP Mhe Augustine Lyatonga Mrema na Mwenyekiti wa UPDP Mhe Fahmi Dovutwa leo. MWENYEKITI wa Tanzania Labour Party (TLP), Augustine Mrema, amekunjua upya makucha yake yaliyowahi kurarua viongozi wenzake akiwa katika NCCR-Mageuzi na TLP, na sasa amefukuza hadharani madiwani wawili wa chama chake waliounga mkono nia ya Mbunge wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia, ambaye ametangaza kugombea ubunge wa Vunjo. Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Mhe John Cheyo akiongea na Makamu Mwenyekiti wa TCD Mhe Philip Mangula, Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Nyuma yao ni Mwenyekiti wa TLP Mhe Augustine Lyatonga Mrema na Mwenyekiti wa UPDP Mhe Fahmi Dovutwa leo.TCD inaundwa na vyama vyenye uwakilishi bungeni, ambavyo ni CCM, CUF, CHADEMA, TLP, NCCR-Mageuzi na UDP. Wimbo wa Burna Boy kuimbwa wakati wa kuapishwa kwa Biden. Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Mhe John Cheyo , Makamu Mwenyekiti wa TCD Mhe Philip Mangula, Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Hivi karibuni viongozi wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), walidai kuwa… Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Mhe John Cheyo akiongea na Makamu Mwenyekiti wa TCD Mhe Philip Mangula, Katibu Mkuu wa CCM Ndg. “TLP haijafa msiniache sababu Rais alivyonipenda hajaniambia […] Nyuma yao ni Mwenyekiti wa TLP Mhe Augustine Lyatonga Mrema na Mwenyekiti wa UPDP Mhe Fahmi Dovutwa leo. Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Mhe John Cheyo , Makamu Mwenyekiti wa TCD Mhe Philip Mangula, Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Makamu Mwenyekiti wa TLP, Domina Rwechngura, alisema msimamo wao upo pale pale wa kuendelea kumuunga mkono mgombea huyo. ALIYEKUWA Mbunge wa Vunjo na Mwenyekiti wa TLP, Augustino Lyatonga Mrema, amefanya mahojiano na Global TV Online na kusea wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanatakiwa kumuunga mkono Rais Magufuli kwa juhudi anazozifanya kwa kuwaletea maendeleo wananchi wa Tanzania. ABdulrahman Kinana na Mhe Isack Cheyo walipowasili Ikulu ndogo mjini Dodoma kukutana na Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo. “Nne sioni kiongozi hivi sasa wanaosemwa semwa kutokea upinzani wenye sifa au vigezo vinavyokidhi uwezo wa kuwa Rais ili kuiongoza nchi, alisema Mgeja mwenyekiti wa taasisi ya Mzalendo Foundation. Kabla ya kuzindua kampeni hizo, mwenyekiti wa TLP taifa, Augustino Mrema alimtambulisha mgombea huyo katika kituo kimoja cha televisheni huku akisema ameshindwa kushirikiana na upinzani hususan Umoja wa Katiba ya wananchi (Ukawa) kwa vile walimkashifu. Mkuu wa Sehemu ya Usajili wa Vyama vya Siasa toka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa (ORPP) na Mwenyekiti wa mafunzo, Bw. Hata hivyo TLP imesema Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania ilikosea kutangaza kwamba wamesitisha uamuzi huo. “Ninataka serikali ya CCM ambayo ndio imenufaika na mateso niliyopata kwa miaka yote wanifidie shilingi bilioni 2, hela ndogo ya chumvi na wasiponifidia nitawashtaki kwa watanzania.” Chama cha TLP chini ya Mwenyekiti wake Augustine Lyatonga Mrema kimempokea mwanachama mpya aliyekuwa Mwenyekiti wa Jimbo la Manyoni Mashariki (CHADEMA) ambaye pia alikuwa mgombea Ubunge wa jimbo hilo Bw.Emmanuel David Allute kutokana na chama hicho pekee cha upinzani kumuunga mkono Rais Dkt.John Pombe Magufuli. Unaweza kuwaka moto kiwango cha alcohol kikizidi kwenye Sanitaizer-TMDA. Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Sity Nyahoza, alisema hayo jana wakati akihojiwa na Radio One kwenye kipindi cha Kumepambazuka. Nyuma yao ni Mwenyekiti wa TLP Mhe Augustine Lyatonga Mrema na Mwenyekiti wa UPDP Mhe Fahmi Dovutwa leo.TCD inaundwa na vyama vyenye uwakilishi bungeni, ambavyo ni CCM, CUF, CHADEMA, TLP, NCCR-Mageuzi na UDP. Akiongea kuhusu maamuzi hayo, Mwenyekiti wa TLP, Augustino Mrema amesema Halmashauri Kuu ya chama hicho ilifanya uteuzi huo ilipokutana miezi miwili iliyopita ambapo amesema Rais huyo ni bora, tukimpoteza, hatutapata mwingine. Mrema amesema 25 Machi 2015, Kinana alimkashfu na kumchafua na kumsingizia tuhuma za uongo kwamba anajilimbikizia madaraka yote, hakuna wa kumhoji na ni Mwenyekiti wa fedha za mfuko wa jimbo. Wa pili kulia ni Mwenyekiti wa chama hicho, Augustine Mrema na mkewe Rose Mrema. Leo July 4, 2018 Mwenyekiti wa Bodi ya Parole ambaye pia ni Mwenyekiti wa TLP Dr. Augustine Mrema amesema hana mpango wakuhama chama chake bali ataendelea kumuunga mkono akiwa TLP kwa kuwa hakuna rais wa mfano wake hivyo amewataka watanzania kupuuza taarifa zinazoenezwa kuwa ana mpango wa kuhama. Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha mapinduzi CCM Rais Dk. TCD inaundwa na vyama vyenye uwakilishi bungeni, ambavyo ni CCM, CUF, CHADEMA, TLP, NCCR-Mageuzi na UDP. Aliyekuwa Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi Kata ya Makuyuni, Badi Mandali akizungumza mara baada ya kukabidhiwa kadi ya uanachama wa Tanzania Labour Party (TLP) katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Kata ya Makuyuni, Himo mkoani Kilimanjaro, juzi. Chama cha Tanzania Labour Party TLP kimeunda timu ya kuzunguka nchi nzima kuzungumzia miradi iliyotekelezwa na Serikali ya awamu tano chini ya Dkt.John Magufuli kama kuonyesha Juhudi za kuungamkono kwa vitendo kauli ya mkutano mkuu wa chama hicho. Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) kimesema kuwa Mkutano mkuu wa chama hicho utaofanyika Mei 9 mwaka huu Kitapitisha Mgombea wa Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt.John Pombe Magufuli. Akizungumza katika mkutano wake na waandishi wa habari Makao Makuu ya Chama hicho yaliyopo Magomeni jijini Dar es Salaam jana, Maganza alisema kama ilivyokuwa kwa Mwenyekiti wa TLP Augustino Mrema aliyemkabidhi Rais Magufuli zawadi ya mbuzi, yeye pia ameguswa na utendaji wa … Mgeja alisema kuwa wapinzani wakikosa sifa zote hizo maana yake wataingia katika kinyan’ganyilo cha uchaguzi mwaka huu 2020 wakiwa wamefirisika ni vyema kama vyama makini wakajitathmini. “Kuna hila … ... MGOMBEA wa Ubunge katika jimbo la Kibamba kupitia Chama cha 'Tanzania Labour Party (TLP),Mhandisi Aivan Maganza amemzawaidia ng'ombe mgombea wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) John Magufuli kutoka na utendaji wake mzuri ulioliwezesha taifa kupiga hatua kimaendeleo. Dar es Salaam. Mwenyekiti taifa wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Augustine Mrema amesema kuwa ameamua kumuandikia barua Rais Dkt John Magufuli juu ya hujuma ambazo amekuwa akifanyiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) zenye lengo la kumfuta katika ulingo wa siasa. makala. Mapema mwaka huu, Mwenyekiti wa Taifa wa TLP, Augustino Mrema, na Mwenyekiti wa UDP, John Cheyo, kwa nyakati tofauti, walitangaza kuwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, vyama vyao havitaweka wagombea urais badala yake vitamuunga mkono mgombea wa … Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) kimemteua Rais Dkt. ABdulrahman Kinana na Mhe Isack Cheyo walipowasili Ikulu ndogo mjini Dodoma kukutana na Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo. ABdulrahman Kinana na Mhe Isack Cheyo walipowasili Ikulu ndogo mjini Dodoma kukutana na Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo.